Home > istilah-istilah > Bahasa Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Part of Speech: proper noun
  • Sinonim (s):
  • Blossary:
  • Industri / Domain: Kebudayaan
  • Kategori: Orang
  • Company:
  • Produk:
  • Akronim-Singkatan:
Tambah ke Daftar Istilah Saya

Apa yang ingin Anda katakan?

Anda harus log masuk untuk membalas diskusi.

Istilah-istilah dalam Berita

Istilah Terpilih

edithrono
  • 0

    istilah-istilah

  • 0

    Daftar Istilah

  • 1

    pengikut

Industri / Domain: Festival Kategori: Tahun baru

azimio ya mwaka mpya

Azimio ya mwaka mpya ni ahadi ambayo mtu hufanya kwa lengo moja au zaidi ya kibinafsi, miradi, au kuleta mageuzi ya tabia. Hii mabadiliko ya maisha ...

Kontributor

Daftar istilah utama

Grand Canyon

Kategori: Perjalanan   3 10 istilah-istilah

Boat Types

Kategori: Olahraga   1 8 istilah-istilah