Home > istilah-istilah > Bahasa Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Part of Speech: proper noun
  • Sinonim (s):
  • Blossary:
  • Industri / Domain: Kebudayaan
  • Kategori: Orang
  • Company:
  • Produk:
  • Akronim-Singkatan:
Tambah ke Daftar Istilah Saya

Apa yang ingin Anda katakan?

Anda harus log masuk untuk membalas diskusi.

Istilah-istilah dalam Berita

Istilah Terpilih

Ann Njagi
  • 0

    istilah-istilah

  • 0

    Daftar Istilah

  • 12

    pengikut

Industri / Domain: Bar & klub malam Kategori:

kilabu cha usiku

Pia inajulikana tu kama klabu, au disko ni ukumbi wa burudani ambao kwa kawaida huendelea usiku kucha. klabu cha usiku kwa ujumla kutofautishwa na baa ...

Kontributor

Daftar istilah utama

Guns

Kategori: Objects   1 5 istilah-istilah

Cognitive Psychology

Kategori: Sains   1 34 istilah-istilah